Wednesday, February 3, 2016

Mazuri ya kujionea Hifadhi ya kisiwani Geita kwenye picha 10

Tanzania tumebarikiwa wanyama wa kutosha mtu wangu na kama unapata muda sio mbaya kwenda na familia yako kuenjoy kwenye mbuga zetu, kwa kuwa kazi yangu nikukusogezea kila ninachokipata acha uipate na hii ya wanyama wanaopatikana kwenye moja ya Hifadhi za hapa nyumbani.
Kama umezoea kuona vivutio vikiwa inchi kavu sasa hii ipo ndani ya maji ya ziwa Victoria ni Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo ipo mpakani mwa Geita na Muleba, ripota wa millardayo.com amezipata picha za wanyama na ndege kwenye Hifadhi.
Image00019
Barabara ya Mganza kuelekea Hifadhi ya Rubondo
Image00013
Kiboko naye yupo kwenye hifadhi
Image00008
Nzohe naambiwa anapatikana kwenye hiyo Hifadhi tu nchi zima
Image00012
Kama ulikuwa hufahamu huyu anaitwa Pongo
Image00007
Tembo wanaoishi kwenye Hifadhi iliyopo majini
Image00005
Image00002
Image00015
Image00003
Mamba na pozi lao
Image00011

Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK