Friday, April 29, 2016

Colombia yahalalisha ndoa za jinsia moja

Colombia

Mahakama ya juu zaidi nchini Colombia imehalalisha rasmi ndoa za wapenzi wa jinsia moja.
Hatua hiyo inaifanya Colombia kuwa taifa la nne kuhalalisha ndoa hizo katika mataifa ya Kilatino, Amerika Kusini.
Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK