Wednesday, April 27, 2016

Simba 30 kupelekwa Afrika Kusini

Simba

Simba zaidi ya 30 ambao wameokolewa kutoka kwa makundi ya wanasarakasi Peru na Colombia watahamishwa na kupelekwa Afrika Kusini.
Wanyama hao waliokuwa wanatumiwa na wachezaji wazungukao mjini kuonyesha michezo yao waliteswa na kudhalilishwa, kwa mujibu wa kundi la kutetea haki za wanyama la Animal Defenders.
Image copyright
Simba mmoja alipofuka.
Wengine wengi walikatwa kucha zao.
Image copyright
Kundi hilo la Animal Defendersndilo lililopanga shughuli hiyo ya kuwasafirisha wanyama hao.
Ndiyo shughuli kubwa zaidi kuwahi kuandaliwa ya kuwasafirisha simba.
Image copyright
Simba hao watafungiwa kwenye vizimba kama hivi na kusafirishwa Ijumaa.
Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK