Mgomo watokea katika kampuni ya pepsi eneo la vingunguti pugu road.
Wafanya kazi wa kampuni iyo wagoma kwa kutaka kulipwa sitahiki zao. polisi wajitokeza kutawanya umati wa wafanya kazi hao.Sitahiki zao ni pamoja na malipo yao ya kila siku ambayo ilipaswa walipwe.

0 maoni:
Post a Comment