
June 20.2016 Bungeni kwa baadhi ya wabunge wa upinzani kuamua kutoka nje ya bunge kwa style ya kuziba midomo. Hii ni kuonyesha mwendelezo wa kutokuwa na imani na naibu spika Dk. Tulia Ackson.
Nje ya bunge mbunge wa Vunjo James Mbatia amesema.Ni kwamba serikali inaipasua nchi, hatukushiriki bajeti yao na tutawashitaki kwa watanzania , na kuhusu mikutano tutaifanya bila wasiwasi.
0 maoni:
Post a Comment