Friday, October 21, 2016

Mfalme wa Morocco kuzuru Tanzania


Image result
Kwa mara ya kwanza, Mfalme wa Morocco, Mohammed VI, Jumapili hii anaitembelea Tanzania kwa ziara ya kikazi baada ya kuzuru Rwanda.
Miongoni mwa ajenda kuu za ziara yake ni kuishawishi Tanzania kuiunga mkono Morocco kurejeshwa katika Umoja wa nchi za Afrika. Aidha, atatia saini mikataba ya kibiashara na kidiplomasia kati ya Tanzania na Morocco.
Mfalme Mohammed VI pia atazuru pia Ethiopia.

Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK