Wednesday, May 17, 2017

Rayvanny Atajwa kuwania Tuzo BET Awards2017.

Majina ya wanaowania tuzo za BET 2017 tayari yametoka huku Tanzania ikitajwa kwenye orodha kupitia kwa Mwimbaji wa Bongofleva kutoka kundi la WCB Rayvanny ambaye anawania tuzo kwenye kipengele cha Best International View’s Choices akiwa ni Msanii pekee kutoka Afrika.
Baada ya kuzipokea taarifa hizo Rayvanny alikuwa na haya ya kuwaeleza mashabiki wake.
Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK