Wednesday, February 8, 2017

Awamu ya pili ya Makonda na dawa za kulevya, ajibu pia kuhusu Wema na Masogange

Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda amesimama tena mbele ya Waandishi wa habari Dar es salaam leo February 8 2017 kwenye sakata la ishu ya Dawa za kulevya ambapo ameiita hii ni awamu ya pili ya kuwataja.
Pamoja na kuitaja orodha yenyewe, Waandishi wa habari hawakusita kumuuliza kuhusu mwigizaji Wema Sepetu kutoonekana na wenzake Mahakamani janavipi kuhusu kinachoandikwa kuhusu yeye na Masogange? majibu yote yapo kwenye hii video hapa chini
Share:

0 maoni:

Post a Comment

Copyright © A star.com All Right Reserve

CONTACT:+255713365518

FACEBOOK